Back to home
Unyanyapaa na dhana potovu zaathiri elimu ya walemavu Kilifi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 1, 2025
7mo ago
Huku hazina ya kitaifa ya walemavu nchini ikiendeleza miradi katika kaunti ya Kilifi, unyanyapaa, dhana potofu na uhaba wa walimu zimetajwa kama mojawapo ya vikwazo vikuu vinavyochangia kudorora kwa elimu ya watoto hao
Advertisement
Advertisement
