Back to home

Supkem: Tunawatahadharisha mahujaji dhidi ya mawakala tapeli

video
August 1, 2025
16h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baraza Kuu la Waislamu Kenya (SUPKEM) limeanza rasmi maandalizi ya hajj mwaka wa 2026 ili kuhakikisha kuwa mahujaji wote wa kenya wanapewa usaidizi bora zaidi katika masuala ya mipango ya usafiri, malazi, mwongozo na ustawi wa jumla...

Supkem: Tunawatahadharisha mahujaji dhidi ya mawakala tapeli (Video)