Back to home
Supkem: Tunawatahadharisha mahujaji dhidi ya mawakala tapeli
video
C
Citizen TV (Youtube)August 1, 2025
4mo ago
Baraza Kuu la Waislamu Kenya (SUPKEM) limeanza rasmi maandalizi ya hajj mwaka wa 2026 ili kuhakikisha kuwa mahujaji wote wa kenya wanapewa usaidizi bora zaidi katika masuala ya mipango ya usafiri, malazi, mwongozo na ustawi wa jumla.
Advertisement



