Back to home
Mzozo DAP-K unaendelea kati ya Wamalwa na Natembeya wenye maombi mawili
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 1, 2025
1y ago
Mzozo wa uongozi wa Chama cha Democratic Action Party DAP-K, baina ya Kiongozi wa chama Eugene Wamalwa na naibu wake ambaye ni Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya, unaendelea kutokota huku ikiibuka kuwa kuna maombi mawili, moja kutoka kwa wandani wa Wamalwa wanaotaka kufurushw
Advertisement
Advertisement





