Back to homeWatch Original
Katibu wa Usalama Raymond Omollo ataka Wakenya kujivunia kuandaa dimba la CHAN
video
August 2, 2025
16h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Zikiwa zimesalia chini ya saa 24 kabla ya kuanza kwa mechi kati ya Kenya na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, katibu wa usalama wa kitaifa Raymond Omollo amewataka wakenya kujivunia kuandaa dimba la chan kwani ni mara ya kwanza tangu mwaka 1987 ambapo taifa linaanda mchuano wa ai..