Back to home

Maonyesho ya kilimo ya makueni yakamilika huko Makindu

video
August 4, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maonyesho ya kilimo ya mwaka huu ya kaunti ya Makueni yametamatika huku wakulima kwenye kaunti hiyo ambayo ni mojawapo ya maeneo yenye ukame wakihimizwa kutumia mbinu za kusasa za ukulima ambazo zinaweza kustahimilu ukame na kuongeza Mavuno..