Back to home

Soko jipya la kisasa kujengwa katika uwanja wa Kipchoge Keino

video
August 4, 2025
1w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Ni rasmi kwamba Uwanja Kipchoge Keino ulioko mjini Kapsabet Katika Kaunti ya Nandi utasalia kwenye kumbukumbu za wanamichezo wengi, Baada ya mwanakandarasi wa kujenga soko jipya la kisasa Katika uga huo kubisha hodi. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today ..