Back to homeWatch Original
Mzozo wa hospitali ya Londiani
video
August 5, 2025
17h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi wa eneo bunge la Kipkelion Mashariki walifanya mkutano wa kupinga vikali jaribio lolote la kuhamisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Londiani yenye thamani ya Shilingi bilioni 8 kutoka eneo lililokusudiwa awali karibu na mji wa Londiani..