Back to home

Serikali ya kaunti yaandaa kambi za muda kuhudumia raia

video
August 5, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa kaunti ya Samburu bado wanalazimika kusafiri mwendo mrefu kusaka matibabu,hali ambayo imeshinikiza idara ya afya kaunti hiyo kuanzisha mpango matibabu tamba kwa kuandaa kambi za muda za matibabu ili kuwahudumia wakazi mashinani wasio na uwezo wa kusaka matibabu hospital..