Back to home

Watu wawili waripotiwa kufariki kufuatia ajali ya lori

video
August 6, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu wawili wameripotiwa kuaga dunia mapema asubuhi, eneo la Daraja Mbili mjini Kisii baada ya lori kukata Breki na kuteremka kutoka katikati mwa mji wa Kisii hadi soko la daraja mbili. Watu wengine kadhaa wamejeruhiwa..