Back to home

Austine alifungia Kenya bao la kusawazisha

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 8, 2025
4mo ago
Licha ya kucheza wachezaji kumi kwa zaidi ya dakika 65, harambee stars ya Kenya ilikwea kileleni mwa kundi a kwa sare ya bao moja dhidi ya angola kwenye mchuano wa chan usiku wa jana uwanjani kasarani.
Advertisement