Back to homeWatch Original
Raila Odinga asema atashirikiana na Rais 2027
video
August 8, 2025
5h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kinara wa ODM Raila Odinga sasa anasema ana imani kwamba atashirikiana na Rais William Ruto hata baada ya uchaguzi mkuu wa 2027, akidokeza uwezekano wa kuungana na Rais Ruto katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza katika kaunti ya Homa Bay, Odinga aliwashambulia wanaondeleza kampe..