Back to home

Peter Macharia aliuawa kwenye maandamano ya saba saba

video
August 9, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya Peter Macharia, kijana aliyeuawa kwa kupigwa risasi katika kaunti ya Kirinyaga wakati wa maandamano ya kumbukumbu za sabasaba mwaka huu sasa inaitaka serikali kuhakikisha kuwa mauaji ya kiholela ya vijana yamekomeshwa, wakisema kuwa fidia pekee haitoshi...