Back to home

Kilimo Cha Matumaini Kufufua Maisha Marsabit

video
August 10, 2025
19h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kaunti ya Marsabit ni mojawapo ya maeneo yaliyo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na ukame nchini. Kwa miaka mingi, wakaazi wa kaunti hiyo, wametegemea ufugaji kama njia ya kujikimu kimaisha. Hata hivyo, kutokana na kuongezeka kwa visa vya ukame na mafuriko maeneo ya kaskazini, wak..