Back to homeWatch Original
Kijiji cha Kotombo chaomboleza vifo vya 26 wa ajali ya barabarani
video
August 10, 2025
15h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kijiji cha Kotombo kaunti ya Kisumu kimeanza mipango ya mazishi baada ya watu 26 kufariki kufuatia ajali ya barabarani ijumaa iliyopita. Huku waliofariki wakitarajiwa kuzikwa jumamosi ijayo, Familia hizi zimesalia kwenye msiba ambao wengi wameutaja kuathiri jamaa waliohusiana. Ka..