Back to home

Kinara wa DCP adai Raila anawapotosha wafuasi wake

video
August 11, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kiongozi wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amemsuta kinara wa ODM Raila Odinga kwa kile anasema ni kuwapotosha wafuasi wake na kuwatumia kama kivukio cha kuingia serikalini. Akizungumza katika mkutano wa wakenya wanaoishi mjini Anaheim Carlifonia kusini nchini Marekani, Gachagua ..