Back to home
Motonka Kipas amemlinda mwanawe kwa ndoa za utotoni
video
C
Citizen TV (Youtube)August 12, 2025
3mo ago
Mzee mmoja kaunti ya Kajiado ameonekana kukaidi tamaduni na kukataa kumuozesha mwanawe licha ya kuwa alijifungua akiwa bado mtoto. Mzee Motonka Kipas badala yake akiamua kumlea bintiye wa miaka 15 na mjukuu wake, akisema ni lazima arudi shuleni kuendelea na masomo yake
Advertisement




