Back to home

Maadhimisho yanaendelea katika kaunti ya Machakos

video
August 12, 2025
4d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Vijana katika kaunti ya Machakos wanaungana na wenzao kusherehekea siku ya vijana ulimwenguni. Vijana hao tayari wanashiriki katika maonyesho ya kibiashara, kuandaa vikao vya kujadili changamoto zinazowakumba na kushiriki katika michezo mbalimbali..

Maadhimisho yanaendelea katika kaunti ya Machakos (Video)