Back to home

Watu wawili wanauguza majeraha Litein

video
August 13, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu wawili wanauguza majeraha baada ya gari walilokuwa wameabiri katika eneo la Litein kugonga mti. Inadaiwa kuwa dereva wa gari hilo la umma alishindwa kulithibiti kwasababu alikuwa akimenyana na afisa wa polisi wa trafiki..