Back to home

Kongamano la 9 la ugatuzi limezinduliwa rasmi huku sekta ya afya ikiwa miongoni mwa mada kuu

video
August 13, 2025
2h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kongamano la 9 la Ugatuzi limezinduliwa rasmi na Rais William Ruto katika Kaunti ya Homa Bay, huku sekta ya afya ikiwa miongoni mwa mada kuu iliyojadili matumizi ya teknolojia shirikishi na bunifu ili kufanikisha huduma ya afya kwa wote, kwa manufaa ya kukuza uwazi na ufanisi. ..