Back to homeWatch Original
IG Kanja ashtakiwa kwa madai ya kuchukua usimamizi wa malipo ya mishahara ya polisi kutoka kwa NPSC
video
August 13, 2025
15h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Shirika la Sheria Mtaani pamoja na wakili Shadrack Wambui wamemshtaki Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja kwa madai ya kuchukua usimamizi wa malipo ya mishahara ya polisi kutoka kwa Tume ya Kitaifa ya Huduma za Polisi (NPSC), kinyume na sheria. Subscribe to NTV Kenya chann..