Back to home

Wenyeji wa Madogo wanaitaka KFS kubatilisha ilani

video
August 14, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wenyeji na viongozi wa eneo la Madogo kaunti ya Tana River wanashinikiza idara ya huduma za misitu nchini kufutilia mbali ilani katika gazeti rasmi la serikali inayoainisha eneo hilo kama sehemu ya misitu ya serikali..