Back to homeWatch Original
Jaji mkuu Koome atetea uhuru wa mahakama
video
August 14, 2025
5h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Jaji Mkuu Martha Koome ametetea uhuru wa idara ya mahakama akisema kamwe haitayumbishwa na shutuma kuhusu utendakazi wake. Koome akitoa hakikisho kuwa majaji wataendelea kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia katiba. Jaji Mkuu amezungumza haya huku shutuma zikiendelea kuhusu baad..