Back to home

Weego yafanya kikao na madereva Nairobi ili kuboresha mawasiliano nao

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 14, 2025
3mo ago
Kampuni ya kutoa huduma za usafiri wa mtandaoni ya Weego imefanya kikao chake cha pili na madereva jijini Nairobi kama njia moja ya kuboresha mawasiliano nao.
Advertisement