Back to home

Isiolo: Wahudumu wa afya ya jamii wasitisha huduma zao wakilalamikia kutolipwa marupurupu yao

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 14, 2025
3mo ago
Wahudumu wa afya ya jamii (CHPs) katika Kaunti ya Isiolo wamesitisha huduma zao wakilalamikia kushindwa kwa serikali ya kaunti hiyo kuwalipa marupurupu yao kwa zaidi ya miaka miwili. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news upd
Advertisement