Back to homeWatch Original
Likizo yageuka majonzi baada ya watoto wawili kuzama Mombasa
video
August 14, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
WATOTO WAWILI WAMEKUFA MAJI MJINI MOMBASA, KWENYE TUKIO LILILOILAZIMU FAMILIA KUKATIZA LIKIZO YAKE MJINI MOMBASA. WATOTO HAWA WA MIAKA 13 NA 9 WALIZAMA KWENYE KIDIMBI CHA KUOGELEA MTAA WA NYALI. FAMILIA YA WATOTO HAWA ILIKUWA KWENYE LIKIZO KUTOKA NAIROBI..