Back to homeWatch Original
Rais amewaonya wabunge wanaojihusisha na ufisadi
video
August 19, 2025
13h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Rais William Ruto sasa anasema wabunge wanaohusika na ufisadi na kula mlungula watakamatwa. Rais pia akifichua kuwa maseneta hudai hadi shilingi milioni 150 kutoka kwa magavana wanapofika mbele ya seneti kuhojiwa..