Back to home

Waakilishi wa wadi Kericho wadai udukuzi Kwenye kura ya kumng’oa Gavana Mutai, warekodi taarifa DCI

video
August 19, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waakilishi wadi 18 kutoka kaunti ya Kericho wamefikisha taarifa katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) kuhusiana na madai kwamba watu wasio waakilishi wa bunge hilo walihusishwa na upigaji kura wa kumbandua mamlakani Gavana Erick Mutai kwa kutumia akaunti zao za kielektroniki. ..