Back to home

Waziri wa Afya Aden Duale asisitiza umuhimu wa ushirikiano na Japan

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2025
2w ago
Waziri wa afya Aden Duale, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na nchi ya Japan kwenye usalama wa sekta ya afya udhibiti wa magonjwa ambukizi.