Back to home
Waziri wa Afya Aden Duale asisitiza umuhimu wa ushirikiano na Japan
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2025
2w ago
Waziri wa afya Aden Duale, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na nchi ya Japan kwenye usalama wa sekta ya afya udhibiti wa magonjwa ambukizi.