Back to home

Ngoja ngoja za karo | Wanafunzi wa vyuo Vikuu walalamikia kutofikiwa na fedha za serikali

video
August 20, 2025
19h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Siku moja baada wizara ya Elimu kusema imetuma shilingi bilioni 9.46 kupiga jeki masomo ya zaidi ya wanafunzi laki tatu wa vyuo vikuu nchini, baadhi ya wanafunzi sasa wanasema wangali kupokea fedha hizo hadi sasa. Baadhi ya wanafunzi hawa wakilalamikia kupewa ilani na vyuo kwa ku..