Back to home

Shirika la reli lakamilisha ujenzi wa mradi wa huduma ya treni ya abiria wa jiji la Mombasa

video
August 22, 2025
1d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Shirika la reli limekamilisha ujenzi wa mradi wa huduma ya treni ya abiria wa jiji la Mombasa. Mradi huo ulijumuisha ujenzi wa vituo vya abiria mjini Mombasa na Miritini, ujenzi wa daraja la reli lenye urefu wa kilomita 2.3 kuvuka bahari katika eneo la Makupa pamoja na kufufua re..