Back to home

Maaskofu wataka vitendo badala ya vitisho

video
August 23, 2025
11h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kanisa katoliki nchini limemtaka Rais William Ruto kuwachukulia hatua wabunge na maseneta wanaodaiwa kugeuza bunge kuwa kitovu cha ufisadi, la sivyo kauli zake za kupambana na ufisadi zitabaki kuwa maneno matupu..