Back to home

Kennedy Odede ashinda tuzo la Nelson Mandela

video
August 25, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kennedy Odede aliweka historia nchini baada ya kuwa mkenya wa kwanza kushinda tuzo ya heshima ya umoja wa mataifa ya Nelson Mandela. Odede amesherehekewa katika ulimwengu mzima kwa kazi yake ya kukuza jamii zinazoishi katika mitaa ya mabanda na makazi duni..