Back to homeWatch Original
Waathiriwa wa musoso huko Murang'a wataka fidia
video
August 25, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kwa muda wa mwaka mmoja na nusu uliopita, familia ishirini na moja kutoka kijiji cha Musoso katika eneo bunge la Kangema zimekuwa zikiishi katika kambi ya muda baada ya ardhi yao kutangazwa kuwa hatari..