Back to homeWatch Original
Shirika la ustawishaji kilimo lakumbatia Teknolojia
video
August 25, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Serikali kupitia Shirika la Ustawishaji Kilimo (ADC) imeanzisha mpango kabambe wa kuwaelimisha wakulima kuhusu umuhimu wa kukumbatia teknolojia ya kisasa katika uzalishaji wa mazao ili kuimarisha usalama wa chakula nchini..