Back to homeWatch Original
Mamlaka ya ustawishaji wa bonde la Kerio yageuza taswira
video
August 25, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Miaka miwili iliyopita, bonde la Kerio lilitambulika kwa ukosefu wa usalama, wizi wa mifugo, na kuhama kwa maelfu ya wakazi. Leo, taswira imebadilika kwa njia isiyotarajiwa, mashamba ya kijani kibichi ya mtama na mahindi yamenawiri, yakiwa alama ya matumaini mapya, kupitia mradi ..