Back to homeWatch Original
Mataifa ya Afrika Mashariki yameshirikiana vyema kuandaa mchuano wa CAF
video
August 25, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kwa mara ya kwanza katika historia, mataifa ya Afrika mashariki, kenya, Uganda na Tanzania, yameshirikiana kuandaa michuano ya mataifa ya CAF, mashabiki wa soka katika ukanda huu wakipata fursa adhimu ya kushuhudia mashindano ya haiba ya juu barani...