Back to homeWatch Original
Mjane wa miaka 76 amepokezwa nyumba mpya na vifaa vipya
video
August 26, 2025
1h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mjane mwenye umri wa miaka 76, Margaret Anyango Oriema, kutoka kijiji CHA Gangu, Rarieda, amepokea nyumba mpya pamoja na samani na vifaa vya malazi, msaada uliotolewa na taasisi ya katibu wa wizara ya usalama Dkt. Raymond Omollo..