Back to home

Wakazi wa Osiri, Kisumu, wakadiria hasara baada ya mvua kubwa ya mawe kusomba mifugo

video
August 26, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Makumi ya wakazi wa kijiji cha Osiri kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara baada ya mvua kubwa ya mawe kusababisha uharibifu Jumatatu usiku. Majumba, madarasa na mazao ya shambani ni baadhi ya vitu vilivyoharibiwa huku mamia ya mifugo pia wakisombwa..