Back to home
Wakulima na wafugaji kunafaika na uwekezaji huko Lamu
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2025
2w ago
Serikali ya kitaifa ikishirikiana na serikali ya kaunti ya Lamu inalenga kuinua uchumi wa wakulima, wavuvi sawia na wafugaji wa lamu kwa kuboresha vyama vyao vya ushirka pamoja na kuwajengea viwanda vitakavyoongeza thamani ya mazao yao.