Back to home

Kilimo biashara | Teknolojia mpya yasaidia wakulima wa Nakuru kuongeza uzalishaji wa viazi

video
August 27, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakulima wa viazi nchini wanahimizwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuongeza uzalishaji wa kibiashara. Mojawapo ya mbinu zinazopendekezwa ni matumizi ya mbegu zilizoimarishwa. Mbegu hizo hutokana na tishu za mimea yenye afya ambazo hupandikizwa na kukuzwa ili kuzaa mimea midogo..