Back to homeWatch Original
Miili 6 zaidi yafukuliwa Kwa Binzaro, idadi yafikia 25!
video
August 27, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Zoezi la kufukua miili katika kijiji cha Kwa Binzaro kaunti ya kilifi limeendelea leo huku miili Sita zaidi ikifukuliwa kutoka kwenye kaburi nne. Zoezi la leo likifikisha idadi ya maiti iliyofukuliwa kufikia 25..