Back to home

Kamati ya Seneti yaahidi kushughulikia madeni ili kaunti kulipa madeni yanayozidi shilingi bilioni 1

video
August 28, 2025
4h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kamati ya Seneti imezuru kampuni ya Kenya Seed na kuahidi kushinikiza serikali kuu na za kaunti kulipa madeni yanayozidi shilingi bilioni 1.3 ili kurahisisha upatikanaji wa mbegu bora kwa wakulima nchini..