Back to home

Clive Gisairo: Kama Rais anataka kupambana na ufisadi aanze na jumba lake

video
August 28, 2025
6h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Clive Gisairo- Mbunge, Kitutu Masaba: Kama Rais anataka kupambana na ufisadi, aanze na jumba lake, kwa sababu ufisadi uko ndani ya Ikulu kabla hata hajafika Bungeni. Kwa majuma machache tumeona mabasi yakisafirisha vijana na kila mmoja kupewa elfu kumi, pesa ambazo haziko kwenye ..