Back to home

Magavana Simon Kachapin na Ken Lusaka wahimiza uwekezaji mashinani

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 1, 2025
1w ago
Magavana Simon Kachapin wa West Pokot na Ken Lusaka wa Bungoma wamewahimiza wawekezaji kuongeza uwekezaji katika sekta ya hoteli na utalii, wakisema inachangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji wa uchumi kupitia serikali za ugatuzi. Wakizungumza mjini Kitale baada ya kuzindua rasm