Back to homeWatch Original
Wagonjwa wa macho waongezeka kaunti ya Busia
video
September 2, 2025
7h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Umasikini na mapuuza ya wakazi wa kaunti ya Busia ya kutembelea vituo vya afya ili kufanyiwa ukaguzi wa afya ya macho, umesababisha ongezeko la magonjwa ya macho na hata upofu hasa miongoni mwa wazee..