Back to home

Viongozi Taita Taveta wasema elimu ya mama ni muhimu

video
September 2, 2025
7h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kuna haja kwa serikali ya kitaifa na zile za kaunti kuangazia namna ya kuimarisha lugha ya mama hasa katika shule za chekechea. Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime anasema lugha hizo asilia zina mchango mkubwa katika kukuza utamaduni wa jamii tofauti hapa nchini..