Back to homeWatch Original
Polisi waanzisha msako wa kijana mmoja mshukiwa kwa mauaji ya msichana Nyamira
video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Polisi kaunti ya Nyamira walianzisha msako wa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 23 aliyekiri kumuuwa msichana mmoja na kuuzika mwili wake katika eneo la Nyamaiya, West Mugirango, kaunti ya Nyamira. Familia, jamaa na majirani walimeshinda katika eneo ambalo kaburi hilo linaaminika..