Back to home

Ujenzi wa bwawa Lamu

video
September 3, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali ya Kaunti ya Lamu, kwa kushirikiana na Shirika la WWF, imejenga bwawa la maji katika eneo la Pangani litakalotumiwa na jamii ya wafugaji kunywesha mifugo wao ili kupunguza migogoro kati ya wafugaji na wakulima. Migogoro hiyo imeendelea kushuhudiwa katika eneo la Pangani ..