Back to homeWatch Original
Barabara mbovu Maralal
video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Madereva wa magari ya uchukuzi pamoja na wale wa magari ya kibinafsi wanaotumia barabara ya Maralal kwenda Nyahururu, wamelalamikia kuharibika Kwa barabara hiyo. Mashimo mengi kwenye barabara hiyo yamekuwa chanzo cha ajali za mara kwa mara. Madereva hao wanataka mamlaka ya ujenzi..