Back to homeWatch Original
Wakazi wa Kenol wapinga mradi wa serikali wa kupanua ofisi za utawala wa Murang’a Kusini
video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi wa mji wa Kenol, hususan vijana, wamepinga vikali mpango wa serikali wa kupanua ofisi za utawala wa Murang’a Kusini katika uwanja wa Kimorori. Kulingana nao, wamekuwa wakitumia uwanja huo kukuza vipaji vyao kupitia michezo, na sasa wanahofia kufurushwa. Vijana hao wanas..